Hamuendani mkuu japo ni watu mahusiano yenu yamejaa raha utani na maelewano ya hapo hapo kisha mkipeana nafasi imeisha hiyo wewe ni msaliti na yeye ni msaliti mzuri tu, Haijarishi mtaficha kwa muda gani.
Jambo la kwanza kuhusu Sex kwenu litakuja kuwa tatizo kubwa, yeye ni mtu makini katika mipangilio ya maisha yake, Wewe ni mtu tunamuita ponda mali yaani ni aina ya watu wenye matumizi ya fujo kwenye pesa.
Tunapokuja kwenye suala la kununua vitu yeye ni mtu anataka kujenga na kuweka sawa maisha yake ya baadae haijarishi ni maskini au tajiri.
Tunapokuja kwenye suala la kununua vitu yeye ni mtu anataka kujenga na kuweka sawa maisha yake ya baadae haijarishi ni maskini au tajiri.
Lakini wewe utaona ni mtu wa kutokujali hilo na ni wa leo ya leo.
Hata akimletea habari za kuwekeza for future utakupiga hesabu za hali ya juu na mwenye kumkatisha tamaa.
Wote nyie ni wenye akili nzuri lakini katika mitizamo miwili tofauti wewe ni mwenye kujitanua na mwenye maisha ya fujo na yeye ni mwenye kupendelea urahisi wa mambo na mipangilio na kutokujitesa.
Wote nyie ni wenye akili nzuri lakini katika mitizamo miwili tofauti wewe ni mwenye kujitanua na mwenye maisha ya fujo na yeye ni mwenye kupendelea urahisi wa mambo na mipangilio na kutokujitesa.
Wewe kuna muda unamdhania yeye ni mjinga haelewi vitu au hajajua mambo hivyo hamna maisha marefu ya kulala shuka moja kati yenu.
Huu ndio mtizamo wake kwako kinyota.