NDOO NA MASHUKE

Sawa mkuu kwa mtizamo unaonekana ni mtu mwenye mwenendo wa upepo wa kimbunga na yeye ni mchanga mwekundu kwa mtizamo huu tu ni watu ambao hamuendani lakini nitakufafanulia hapa kwa ziada maana mnaendana kwa asilimia 30 tu na tofauti na hii na mkuu aliye pita hapo nyuma ni vile yeye alikuwa kinyume chenu yani yeye alikuwa katika asili ya kinyume cha yako hivyo inakuwa hivi;-
Nyote mnaonekana ni watu wenye wigo mpana wa kiakili zaidi kuliko kihisia; ambapo hii inapelekea yeye kuwa zaidi anachunguza ubaya au mabaya yako kuliko wema na kuwa ni mtu wa kukushukia kwa mabaya wakati wewe unakuta ni mtu unamchukulia kawaida na unakuwa huna nafasi ya kukaa unamchunguza chunguza sana na unakuwa sana ni mtu wa kumuwekea dhana wewe unakuwa ni mtu wa kujishughulisha na mambo ya kijamii kutoka na kuwa na mzunguko mpana wa marafiki wakati yeye anakuwa ni mtu mwenye marafiki wachache na vile vile ni mbaguzi wa marafiki,
Mitizamo yenu nyote wawili inakuwa ni tofauti;- wewe unakuwa ni mtu muuangalifu iwezekanavyo hali ya kuwa yeye anataka kufanya mambo yake kwa jinsi anavyotaka yeye na hataki kuingiliwa.
Kiakili mnakuwa mnaendana lakini mahusiano hayataki akili tu hisia hucheza nafasi kubwa sana. japo kuwa kila mtu kati yenu anajielewa mtizamo unaonyesha kama mtaoana hamna maisha marefu ya ndoa.
SEHEMU YAKE YA HISIA;
Sehemu yake ya hisia zaidi ni supu za miguu na ankles. Gusa,papasa,tomasa au mbusu sehemu hizo basi ukifanya hivyo utaona hisia zake zinapanda kwa kasi na anakuwa radhi hilo ni eneo nyeti sana kwake na wengine wao hupenda kusafishwa miguu saloon hivyo Kugusa,
kusugua, kupapasa, au kumbusu sehemu hii ya mapenzi ya anatomia kwa kiasi kikubwa humuamsha hamu ya tendo.
mfanyie kumbembeleza kifundo cha mguu, kusonga hadi supu kama massage laini, na uone jinsi anajibu haraka.
Wanamaji hupenda kuwa na miguu ya chini na vifundo vyao vya miguu vilivyotiwa ujazo mfano mguu wa bia hupenda pia mchezo wa kumwagiwa maji miguuni.
Kama hatua ya awali ya kufanya mapenzi, mpe massage nzuri ya miguu. Tumia vidole vyako au kucha, na na uwe kama unampatia ganzi kiasi
utaona analalama kwa upole. Anza kwenye vifundo vya miguu, na ueleze polepole duru kuzunguka mfupa wa kifundo cha mguu.
Mpake mafuta kwenda juu kwa taratiibu hadi eneo lote la nyuma uone mguu umelegea Wakati wa kufanya mapenzi, jitahidi kushika miguu yake na kuifanyia mitelezo utaona anazidi kutoa sauti za mahaba na mawadah.
japo kuwa hamuendani hii inaweza kukusaidia kwa nafasi kubwa kuweza kumkamata.
Nyote mnaonekana ni watu wenye wigo mpana wa kiakili zaidi kuliko kihisia; ambapo hii inapelekea yeye kuwa zaidi anachunguza ubaya au mabaya yako kuliko wema na kuwa ni mtu wa kukushukia kwa mabaya wakati wewe unakuta ni mtu unamchukulia kawaida na unakuwa huna nafasi ya kukaa unamchunguza chunguza sana na unakuwa sana ni mtu wa kumuwekea dhana wewe unakuwa ni mtu wa kujishughulisha na mambo ya kijamii kutoka na kuwa na mzunguko mpana wa marafiki wakati yeye anakuwa ni mtu mwenye marafiki wachache na vile vile ni mbaguzi wa marafiki,
Mitizamo yenu nyote wawili inakuwa ni tofauti;- wewe unakuwa ni mtu muuangalifu iwezekanavyo hali ya kuwa yeye anataka kufanya mambo yake kwa jinsi anavyotaka yeye na hataki kuingiliwa.
Kiakili mnakuwa mnaendana lakini mahusiano hayataki akili tu hisia hucheza nafasi kubwa sana. japo kuwa kila mtu kati yenu anajielewa mtizamo unaonyesha kama mtaoana hamna maisha marefu ya ndoa.
SEHEMU YAKE YA HISIA;
Sehemu yake ya hisia zaidi ni supu za miguu na ankles. Gusa,papasa,tomasa au mbusu sehemu hizo basi ukifanya hivyo utaona hisia zake zinapanda kwa kasi na anakuwa radhi hilo ni eneo nyeti sana kwake na wengine wao hupenda kusafishwa miguu saloon hivyo Kugusa,
kusugua, kupapasa, au kumbusu sehemu hii ya mapenzi ya anatomia kwa kiasi kikubwa humuamsha hamu ya tendo.
mfanyie kumbembeleza kifundo cha mguu, kusonga hadi supu kama massage laini, na uone jinsi anajibu haraka.
Wanamaji hupenda kuwa na miguu ya chini na vifundo vyao vya miguu vilivyotiwa ujazo mfano mguu wa bia hupenda pia mchezo wa kumwagiwa maji miguuni.
Kama hatua ya awali ya kufanya mapenzi, mpe massage nzuri ya miguu. Tumia vidole vyako au kucha, na na uwe kama unampatia ganzi kiasi
utaona analalama kwa upole. Anza kwenye vifundo vya miguu, na ueleze polepole duru kuzunguka mfupa wa kifundo cha mguu.
Mpake mafuta kwenda juu kwa taratiibu hadi eneo lote la nyuma uone mguu umelegea Wakati wa kufanya mapenzi, jitahidi kushika miguu yake na kuifanyia mitelezo utaona anazidi kutoa sauti za mahaba na mawadah.
japo kuwa hamuendani hii inaweza kukusaidia kwa nafasi kubwa kuweza kumkamata.
NOTE:
Ikiwa unahitaji kutizamiwa nyota yako na mwenza wako ama mtu unaetaka kuhusiana nae na kujua mtaenda vipi, usisite kuwasiliana nasi:
Gharama sh elfu 5,000
Kwa mawasiliano na huduma:
Wasiliana nasi kupitia:
Email: rakimsspiritual@gmail.com
: mnajimu@unajimu.com
WhatsApp +255 783 930 601
Rakims
Kwa mawasiliano na huduma:
Wasiliana nasi kupitia:
Email: rakimsspiritual@gmail.com
: mnajimu@unajimu.com
WhatsApp +255 783 930 601
Rakims