MASHUKE NA NDOO
Nyote mnaonekana ni wenye busara na mko vema kiakili na ni wenye mtazamo wa upendo katika mwanzo mwanzo. Wito wake na mawazo pamoja na mitazamo yake hukuona huwa unachukulia poa na rahisi rahisi tu. Pia nyote kila mtu ana mitizamo yake tofauti na mwenzie na pia wewe ni mtu mwenye tahadhari sana kwake linapokuja swala la kuonyesha hisia zako nae fikra zake huwa mbali sana na mawazo yake pia ni mtu akiwa na wewe hata ukiongea anakuwa anawaza vitu vingine yeye anakuwa ni mwenye kuvutika na watu tofauti na wewe na hata ukimuuliza interest zake zinakuwa ni tofauti zaidi kutoka kwako yaani vigezo vyake unakuwa hukidhi. Wewe ni mtu unaonekana mwenye kujitafutia mambo yako na mwenye kutaka kufanikisha yako unayo yataka wewe na kujihifadhia pesa.
Lakini yeye anakuwa ni mtu wa kuwaza na kumaliza muda wake katika ubunifu,maono, na hujiona kama Bikira amehifadhiwa, mwenye busara,
na kuonyesha vitendo sana kuhusu matamanio yake.
Kama unawaza kuwa nae kindoa acha mawazo hayo unapotea na vile vile hata urafiki tu kwenu kuendana hakuna.
SEHEMU YAKE YA HISIA;
Sehemu yake ya hisia zaidi ni supu za miguu na ankles. Gusa,papasa,tomasa au mbusu sehemu hizo basi ukifanya hivyo utaona hisia zake zinapanda kwa kasi na anakuwa radhi hilo ni eneo nyeti sana kwake na wengine wao hupenda kusafishwa miguu saloon hivyo Kugusa,
kusugua, kupapasa, au kumbusu sehemu hii ya mapenzi ya anatomia kwa kiasi kikubwa humuamsha hamu ya tendo.
mfanyie kumbembeleza kifundo cha mguu, kusonga hadi supu kama massage laini, na uone jinsi anajibu haraka.
Wanamaji hupenda kuwa na miguu ya chini na vifundo vyao vya miguu vilivyotiwa ujazo mfano mguu wa bia hupenda pia mchezo wa kumwagiwa maji miguuni.
Kama hatua ya awali ya kufanya mapenzi, mpe massage nzuri ya miguu. Tumia vidole vyako au kucha, na na uwe kama unampatia ganzi kiasi
utaona analalama kwa upole. Anza kwenye vifundo vya miguu, na ueleze polepole duru kuzunguka mfupa wa kifundo cha mguu.
Mpake mafuta kwenda juu kwa taratiibu hadi eneo lote la nyuma uone mguu umelegea Wakati wa kufanya mapenzi, jitahidi kushika miguu yake na kuifanyia mitelezo utaona anazidi kutoa sauti za mahaba na mawadah.
japo kuwa hamuendani hii inaweza kukusaidia kwa nafasi kubwa kuweza kumkamata.
NOTE:
Ikiwa unahitaji kutizamiwa nyota yako na mwenza wako ama mtu unaetaka kuhusiana nae na kujua mtaenda vipi, usisite kuwasiliana nasi:
Gharama sh elfu 5,000
Kwa mawasiliano na huduma:
Wasiliana nasi kupitia:
Email: rakimsspiritual@gmail.com
: mnajimu@unajimu.com
WhatsApp +255 783 930 601
Rakims
Kwa mawasiliano na huduma:
Wasiliana nasi kupitia:
Email: rakimsspiritual@gmail.com
: mnajimu@unajimu.com
WhatsApp +255 783 930 601
Rakims