Mashuke na Simba:
Mahusiano haya ni ya watu wawili wasioendana sana hasa ukizingatia tabia ya majivuno na kujiona ya yeye ni machukio kwako na utajikuta hupendezewi na kutaka kwake kutukuzwa kwa kila jambo.
Wewe ni mwenye kujithamini na kujiwekea uzio na ubinafsi wenye manufaa yako binafsi utakuta ni fedheha kubwa kwake yeye mwenye kupenda kuwa juu na kutukuzwa pia ukimuignore kidogo tu hata akiwa anaongea basi gubu lake huta kuja kuamini.
Wewe ni mtu ambaye huna uwezo wa kulea mtu ambaye ni mwenye utukufu wa ndani ya roho yake.
Yes, yeye ni mtu mwenye ukubwa ndani ya roho yake yaani ana asili ya malikia kama ni mwanamke na kama ni mwanaume basi ana asili ya kifalme roho yake ni tajiri na sio tajiri wa kawaida ni tajiri fahari, kabla ya kuondokewa na uhai anatarajiwa kuwa tajiri.
Hivyo kwa wewe ambaye wakati huna hujulikani na wakati unachohujulikani itakuwa ngumu kuishi na falme hii maarufu.
Pia wewe huwezi kumfikia hadhi yake jinsi alivyojiweka hata kama mkikaa nae utaona anakuzidi mengi na vile vile wewe sio mtu wa kutoa sifa kwake yaani kumsifu sifu na yeye hakuna kitu kinamtia nyege kama kusifiwa ukimsifu sifu basi utaona unamlainisha kila kukicha lakini mtu akikwambua jua zamani lilikuwa linachomoza mashariki na kuzama magharibi siku hizi linazama mashariki kubali ila tabia ya mtu huwa haibadiriki.
Ndivyo hivyo hivyo kwako utaushi maisha ya maigizo hadi lini ipo siku gari itawakia namba 5 hapo hapo kila mtu ataangalia uelekeo wake.
Wote wawili ni wenye kujitegemea sana, sio wenye kupenda kutegemea watu
lakini yeye anaonyesha hii kwa njia ya hasira, yaani kujitegemea kwake au maendeleo yake utaona anatumia pesa nyingi hata kwa vitu visivyo na faida yeye haoni hasara kuwa fahari yupo radhi anunue kitu cha thamani kubwa au afanye jambo kubwa pasipo kujali atalala njaa.
wewe ni mchumi na mwenye kujibana sana.
Hivyo yeye hapendi watu wa hivyo na vile vile utakuwa unampotezea muda kama yeye anashindwa kukwambia mimi nakwambia yaliyopo kwake linapokuja katika suala la matumizi hakuna anachokuelewa sawa na kupigia mbuzi gitar labda akuskilize tu kisha akitoka hapo vimeyayuka ana roho ya kitajiri na ukimvumilia mtakuwa matajiri baadae.
Mahusiano yenu ni mafupi sana kuliko uhai wa mayfly.
NOTE:
Ikiwa unahitaji kutizamiwa nyota yako na mwenza wako ama mtu unaetaka kuhusiana nae na kujua mtaenda vipi, usisite kuwasiliana nasi:
Kwa mawasiliano na huduma:
Wasiliana nasi kupitia:
Email: rakimsspiritual@gmail.com
: mnajimu@unajimu.com
WhatsApp +255 783 930 601
Rakims