Ikiwa ni mapenzi yako katika kujaribu kwenda kung'arisha au kutakasa nyota yako kwa mnajimu yoyote yule basi kuna mambo ni muhimu na unatakiwa kuyazingatia unapokwenda huko ili uweze kupata hitaji lako.
IPO HIVI:
Yeyote kati yenu atakapoenda kutaka kusafishwa nyota kwa mtu yoyote yule basi aende akiwa na backup ya mambo yafuatayo;
Kama akiweza kutambua hayo na kuwambia basi mtangulize Mungu kwa imani yako na utasaidika hapana shaka lakini kama hatokwambia yote haya huyo uliyemfuata.
Basi fahamu kabisa kuwa hawezi kukusafisha nyota yako zaidi ya kukupa jini au uchawi ambao utakusukuma kwa muda fulani uone mafanikio kisha utaharibikiwa ili urejee tena kumpelekea pesa na atakugeuza kitega uchumi.
NOTE:
Ikiwa unahitaji kutizamiwa nyota yako na mwenza wako ama mtu unaetaka kuhusiana nae na kujua mtaenda vipi, usisite kuwasiliana nasi:
Kwa mawasiliano na huduma:
Wasiliana nasi kupitia:
Email: rakimsspiritual@gmail.com
: mnajimu@unajimu.com
WhatsApp +255 783 930 601
Rakims