Mbuzi na Mbuzi
Asili yako ni watu wenye kukubali watu kama wao, hivyo kwa nyie wawili mnaendana sawa nyota kitu kinachopelekea kuwa ni watu wenye kutokukoseana heshima na kuwakilishana,
Nyote wawili ni wenye tahadhari, wenye kujiheshimu na wenye kufanya kazi kwa bidii na kupenda kutunza akiba. Lakini hata wenye nyota sare mara nyingine wanaweza kuwa na changamoto.
Nyie ni wenye kuendana kingono ama tendo la ndoa inategemea na state ya mahusiano, Lakini katika masuala mengine kila mmoja ni mwenye kusababisha mwenzie kuwa na huzuni na mwenye kukata tamaa,
Kati yenu hakuna anaeweza kumpumzisha mwenzie hata kupumzisha tu nywele yake ukimaliza hili linakuja hili,
Mkiwa ni wa kuhusiana tu yaani mahusiano ya kawaida tu kama mtu na hawara yake kila mtu ana mambo yake mtaona mpo sawa japo sio sawa kabisa kupitiliza. Safari ya mapenzi yenu kadri inavyosogea mbele ndivyo inavyozidi kuwa kwenye mteremko mkali saa yoyote mapenzi yanakufa unabaki ujamaa.
NOTE:
Ikiwa unahitaji kutizamiwa nyota yako na mwenza wako ama mtu unaetaka kuhusiana nae na kujua mtaenda vipi, usisite kuwasiliana nasi:
Kwa mawasiliano na huduma:
Wasiliana nasi kupitia:
Email: rakimsspiritual@gmail.com
: mnajimu@unajimu.com
WhatsApp +255 783 930 601
Rakims