SAMAKI NA MIZANI
Pisces and LibraWewe ni mwenye tabia za Maji yaliyotulia na yeye ni Upepo wa juu hivyo kwa mfuatano huu wa mahusiano hamuendani na mtaacha labda uwe mtumwa wake nayo utavumilia kwa muda kisha yatakushinda utatafuta pengine
Japokuwa ni watu mnapendezana mkiwa pamoja,wabunifu na mapenzi yenu yanaweza kujaa kujidanganya, Nyinyi ni watu ambao mkikutana mnaweza kuingia haraka sana kwenye mapenzi na yakawa moto lakini ni short fuse.
Wewe (Pisces) unategemewa kuwa ni mtu mwenye kupenda kusaidiwa kihisia katika mapenzi na ni mtu mpole na mkimya mwenye upepo kwa watu tofauti tofauti, lakini hutapata kujaliwa kihisia kwake kwa maana yeye hupenda mapenzi ya kujirusha na ya kukimbia kimbia.
Japo anaweza kukuigizia ni mtulivu, lakini ukweli ni kwamba yeye (Libra) ni mtu ambaye hata kuvumilia muda mrefu anaweza kukukimbia labda utumie nguvu za ziada.
Pia nyote mnaonekana kupenda kuwa pamoja nyumbani, Japo wewe kimtizamo wa akili yake anakuona ni mzembe katika kutafuta pesa,hali ya kuwa yeye ni mtu wa kutaka kufurahisha nafsi yake na mwenye matumizi.
Mara nyingi akiwa na wewe atajiona kabanwa na hana uhuru wa kufanya anayoyataka kitu ambacho humfanya kukuchukia taratibu. Nyinyi ni watu ambao hamtoshani hata kimwili na vile vile kwa kuwa tu mnafikishana basi lakini kama mtakuwa ni marafiki wa mbali watu wanawaita wapasha viporo mtaendana.
Sumary:
mnaonekana kuendana tu kwa asilimia 29.
SEHEMU ZA HISIA.
Ni mtu mwenye hisia zaidi katika kiuno chake kama unataka kumpumbaza katika tendo basi muombe kucheza cheza nae ili akikatika uwe umemshika kiuno na ukimgusa kisehemu kile wanachotumia kuchoma sindano za matak* basi yeye huhisi raha sana na hisia za kiwazimu na pia anapenda kuoga pamoja hasa ukimsponge eneo hilo na makalio yake
Ukifanya utundu zaidi eneo hilo chochote unachotaka atafanya lakini ndio hivyo mtaishia njiani
mnaonekana kuendana tu kwa asilimia 29.
SEHEMU ZA HISIA.
Ni mtu mwenye hisia zaidi katika kiuno chake kama unataka kumpumbaza katika tendo basi muombe kucheza cheza nae ili akikatika uwe umemshika kiuno na ukimgusa kisehemu kile wanachotumia kuchoma sindano za matak* basi yeye huhisi raha sana na hisia za kiwazimu na pia anapenda kuoga pamoja hasa ukimsponge eneo hilo na makalio yake
Ukifanya utundu zaidi eneo hilo chochote unachotaka atafanya lakini ndio hivyo mtaishia njiani
NOTE:
Ikiwa unahitaji kutizamiwa nyota yako na mwenza wako ama mtu unaetaka kuhusiana nae na kujua mtaenda vipi, usisite kuwasiliana nasi:
Gharama sh elfu 5,000
Kwa mawasiliano na huduma:
Wasiliana nasi kupitia:
Email: rakimsspiritual@gmail.com
: mnajimu@unajimu.com
WhatsApp +255 783 930 601
Rakims
Kwa mawasiliano na huduma:
Wasiliana nasi kupitia:
Email: rakimsspiritual@gmail.com
: mnajimu@unajimu.com
WhatsApp +255 783 930 601
Rakims