Compatibility

Wewe ni mwenye asili ya upepo wa kawaida yaani pumzi na yeye ana asili ya udongo wa mwekundu nyie wawili mnaendana kwa asilimia 40% tu na hiyo ni kwa sababu nyote wawili mmechangia sayari moja katika hali zenu ambapo inapelekea kuwa vizuri katika;
1: Mawasiliano na Utambuzi wa akili = 80%
2: Hisia = 55%
3:Kusaidiana na kuthaminiana =40%
Lakini kwenye uaminifu na tendo la ndoa ni 2% kitu ambacho kinabeba mahusiano na ndoa huwa ni uamiifu na tendo la ndoa ambacho kwenu kimebeba asilimia 60% hiyo ni kwa sababu kila mmoja kati yenu anasifa ya kutawaliwa na akili mbele hisia nyuma sasa.
Hapo ndio mwisho wenu hutokea zinapoanza kufanya kazi akili zaidi kuliko hisia.
Na hata mahusiano yenu yanavyoanza utaona kila mmoja anakuwa na doubt kuhusu mwenzie
Yeye ni mtu anaekuchukulia wewe kama ni mtu ambaye akili yako haijakomaa yaani anakuona mdogo kiakili haijalishi kama kawahi kukwambia au la hilo ndio linaloendelea mara kwa mara katika akili yake.
Tukirejea kwako utamchukulia au unamchukulia kama mtu ambaye mfano wake ni fimbo iliyochomekwa kwenye tope yaani habadiriki kimawazo wala maamuzi yaani kiswahili rahisi unaweza kuanza kumuona kama kisiki.
Njisi yeye anavyotumia akili yake katika kukuchambua na kukutakia mambo wewe utakuwa unaona kama ni mtu ambaye hakujali.
Yeye ni mtu utamuona mwenye kutaka sana kutizamia mifano ya maisha ya watu na mitizamo yake huwa tofauti na wewe.
Nae anapokutizamia wewe anaona ni mtu mwenye maisha ya juu juu na mwenye kupenda kupoteza muda katika mambo ya kijamii kama mitandao ya kijamii.
Na pia yeye ndio hujiona muhimu zaidi inapokuja kwenye mtizamo wa wewe na yeye wakati wewe unakuwa ni mtu usiye na busara inapokuja kwenye swala hilo.
Shauku yenu kwa kila mmoja itakuwa ni ya chini na maisha yenu ya kingono(tendo la ndoa huanza kupooza mapema tu.
Na wewe utaanza kuangalia nje.
Kama kawaida yako kiroho wanakuita sura mbili.
SEHEMU ZA HISIA:
Ukitaka kuwa nae hivyo hivyo basi fahamu sehemu zake za hisia ni tumbo mtekenye tekenye tumboni na kumpa parapanda hapo hata kama umemkosea ama umemnunisha utamuona anaanza kucheka na kufurahi na hupenda sana kushikwa kwa vidole tumboni wakati wa tendo.
Na kupitishiwa ndimi sehemu ya mstari wa tumbo uzazi pia mkono wako kushika tumbo lake kwa ulaini wakati wa tendo ni kitu kinachomfanya akuone kama mfalme.

Wewe ni mwenye asili ya upepo wa kawaida yaani pumzi na yeye ana asili ya udongo wa mwekundu nyie wawili mnaendana kwa asilimia 40% tu na hiyo ni kwa sababu nyote wawili mmechangia sayari moja katika hali zenu ambapo inapelekea kuwa vizuri katika;
1: Mawasiliano na Utambuzi wa akili = 80%
2: Hisia = 55%
3:Kusaidiana na kuthaminiana =40%
Lakini kwenye uaminifu na tendo la ndoa ni 2% kitu ambacho kinabeba mahusiano na ndoa huwa ni uamiifu na tendo la ndoa ambacho kwenu kimebeba asilimia 60% hiyo ni kwa sababu kila mmoja kati yenu anasifa ya kutawaliwa na akili mbele hisia nyuma sasa.
Hapo ndio mwisho wenu hutokea zinapoanza kufanya kazi akili zaidi kuliko hisia.
Na hata mahusiano yenu yanavyoanza utaona kila mmoja anakuwa na doubt kuhusu mwenzie
Yeye ni mtu anaekuchukulia wewe kama ni mtu ambaye akili yako haijakomaa yaani anakuona mdogo kiakili haijalishi kama kawahi kukwambia au la hilo ndio linaloendelea mara kwa mara katika akili yake.
Tukirejea kwako utamchukulia au unamchukulia kama mtu ambaye mfano wake ni fimbo iliyochomekwa kwenye tope yaani habadiriki kimawazo wala maamuzi yaani kiswahili rahisi unaweza kuanza kumuona kama kisiki.
Njisi yeye anavyotumia akili yake katika kukuchambua na kukutakia mambo wewe utakuwa unaona kama ni mtu ambaye hakujali.
Yeye ni mtu utamuona mwenye kutaka sana kutizamia mifano ya maisha ya watu na mitizamo yake huwa tofauti na wewe.
Nae anapokutizamia wewe anaona ni mtu mwenye maisha ya juu juu na mwenye kupenda kupoteza muda katika mambo ya kijamii kama mitandao ya kijamii.
Na pia yeye ndio hujiona muhimu zaidi inapokuja kwenye mtizamo wa wewe na yeye wakati wewe unakuwa ni mtu usiye na busara inapokuja kwenye swala hilo.
Shauku yenu kwa kila mmoja itakuwa ni ya chini na maisha yenu ya kingono(tendo la ndoa huanza kupooza mapema tu.
Na wewe utaanza kuangalia nje.
Kama kawaida yako kiroho wanakuita sura mbili.
SEHEMU ZA HISIA:
Ukitaka kuwa nae hivyo hivyo basi fahamu sehemu zake za hisia ni tumbo mtekenye tekenye tumboni na kumpa parapanda hapo hata kama umemkosea ama umemnunisha utamuona anaanza kucheka na kufurahi na hupenda sana kushikwa kwa vidole tumboni wakati wa tendo.
Na kupitishiwa ndimi sehemu ya mstari wa tumbo uzazi pia mkono wako kushika tumbo lake kwa ulaini wakati wa tendo ni kitu kinachomfanya akuone kama mfalme.
Fanya hayo kumfurahisha lakini hutampenda nje ya hapo ndivyo kama nilivyokueleza
NOTE:
Ikiwa unahitaji kutizamiwa nyota yako na mwenza wako ama mtu unaetaka kuhusiana nae na kujua mtaenda vipi, usisite kuwasiliana nasi:
Gharama sh elfu 5,000
Kwa mawasiliano na huduma:
Wasiliana nasi kupitia:
Email: rakimsspiritual@gmail.com
: mnajimu@unajimu.com
WhatsApp +255 783 930 601
Rakims
Kwa mawasiliano na huduma:
Wasiliana nasi kupitia:
Email: rakimsspiritual@gmail.com
: mnajimu@unajimu.com
WhatsApp +255 783 930 601
Rakims